Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusafiri bila Mahram akiwa ni mwenye haja ya kufanya hivo?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo isipokuwa pamoja na Mahram:
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”[1]
Wanasema isipokuwa tu ikiwa kama mwanamke anahajiri. Akihitajia kuhajiri inafaa kwake kusafiri hata kama ni bila Mahram.
[1] al-Bukhaariy (1088) na Muslim (1338).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusafiri bila Mahram akiwa ni mwenye haja ya kufanya hivo?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo isipokuwa pamoja na Mahram:
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”[1]
Wanasema isipokuwa tu ikiwa kama mwanamke anahajiri. Akihitajia kuhajiri inafaa kwake kusafiri hata kama ni bila Mahram.
[1] al-Bukhaariy (1088) na Muslim (1338).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-inafaa-kwa-mwanamke-kusafiri-bila-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)