Swali: Kuna mtu alijiunga na imamu katika Rakaa ya kwanza. Wakati imamu alipokaa katika Tashahhud ya kwanza akakaa naye. Pindi imamu aliposimama katika Rakaa ya tatu maamuma huyu hakumsikia isipokuwa mpaka baada alipokuwa amefika katika Rukuu´. Hivyo akawa amesimama moja kwa moja na akaenda naye katika Rukuu´. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Kuchelewa kwake ni kwa sababu ya udhuru; hakumsikia imamu. Maadamu amewahi Rukuu´ hahitajii kusimama na kusoma kwa sababu ni mwenye kupewa udhuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 29/05/2018
Swali: Kuna mtu alijiunga na imamu katika Rakaa ya kwanza. Wakati imamu alipokaa katika Tashahhud ya kwanza akakaa naye. Pindi imamu aliposimama katika Rakaa ya tatu maamuma huyu hakumsikia isipokuwa mpaka baada alipokuwa amefika katika Rukuu´. Hivyo akawa amesimama moja kwa moja na akaenda naye katika Rukuu´. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi. Kuchelewa kwake ni kwa sababu ya udhuru; hakumsikia imamu. Maadamu amewahi Rukuu´ hahitajii kusimama na kusoma kwa sababu ni mwenye kupewa udhuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 29/05/2018
https://firqatunnajia.com/hakuwahi-kusoma-katika-swalah-kwa-sababu-hakumsikia-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)