Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa ´Abdullaah Ibn Haraam (Radhiya Allaahu ´anh) ni kaliymu [msemezwa na] Allaah?
Jibu: Hapana. Hili ni jambo maalum kwa Muusa (´alayhis-Salaam). Hata Mtume wetu mtu hawezi kusema kuwa ni msemezwa na Allaah na kuwa Allaah alimzungumzisha usiku wa Mi´raaj. Mtu hawezi kusema kuwa ni msemezwa na Allaah. Hili ni jambo maalum kwa Muusa (´alayhis-Salaam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo--1432-04-15.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014