Swali: Inajuzu kwa watu wa kawaida kubomoa makuba juu ya makaburi ikiwa mtawala amekataza yasibomolewe?
Jibu: Hapana, haijuzu kwake kufanya hivo. Watajenga mazuri zaidi kuliko yale yaliyokutwa. Ni lazima aweko mtawala. Hakuna yeyote awezae kupinzana na mtawala tofauti na wewe ambaye huenda hata wakakuua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 19/09/2017
Swali: Inajuzu kwa watu wa kawaida kubomoa makuba juu ya makaburi ikiwa mtawala amekataza yasibomolewe?
Jibu: Hapana, haijuzu kwake kufanya hivo. Watajenga mazuri zaidi kuliko yale yaliyokutwa. Ni lazima aweko mtawala. Hakuna yeyote awezae kupinzana na mtawala tofauti na wewe ambaye huenda hata wakakuua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 19/09/2017
https://firqatunnajia.com/hakuna-ubomolewaji-wa-makaburi-bila-watawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)