Swali: Ni jambo lina ubaya kufanya matembezi ya kuyatembelea makaburi ni maalum siku ya ijumaa au masiku ya ´Iyd?
Jibu: Haijuzu kuyafanya kuyatembelea makaburi ni jambo maalum siku ya ijumaa au siku ya ´Iyd. Makaburi yanaweza kutembelewa masiku yote. Kusifanywe maalum siku yoyote pasi na dalili. Hakuna dalili iliyopokelewa kwamba makaburi yanatembelewa siku ya ijumaa pekee. Kadhalika masiku mengine. Hakuna dalili ya hilo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 07/09/2018
Swali: Ni jambo lina ubaya kufanya matembezi ya kuyatembelea makaburi ni maalum siku ya ijumaa au masiku ya ´Iyd?
Jibu: Haijuzu kuyafanya kuyatembelea makaburi ni jambo maalum siku ya ijumaa au siku ya ´Iyd. Makaburi yanaweza kutembelewa masiku yote. Kusifanywe maalum siku yoyote pasi na dalili. Hakuna dalili iliyopokelewa kwamba makaburi yanatembelewa siku ya ijumaa pekee. Kadhalika masiku mengine. Hakuna dalili ya hilo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 07/09/2018
https://firqatunnajia.com/hakuna-siku-maalum-ya-kuyatembelea-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)