Swali: Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Halidhuriki na wale wenye kuwakosesha nusura wala kwenda kinyume nao… “
Nini maana ya ukoseshwaji nusura hapa?
Jibu: Mwenye kulinusuru. Wale wenye kuwakosesha nusura hawawanusuru.
Swali: Ahl-ul-Bid´ah wanaingia ndani yao?
Jibu: Wanaingia ndani yake; kila yule mwenye kwenda kinyume nalo. Kila yule mwenye kwenda kinyume nalo analikosesha nusura kundi lililonusuriwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 19/09/2017
Swali: Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Halidhuriki na wale wenye kuwakosesha nusura wala kwenda kinyume nao… ”
Nini maana ya ukoseshwaji nusura hapa?
Jibu: Mwenye kulinusuru. Wale wenye kuwakosesha nusura hawawanusuru.
Swali: Ahl-ul-Bid´ah wanaingia ndani yao?
Jibu: Wanaingia ndani yake; kila yule mwenye kwenda kinyume nalo. Kila yule mwenye kwenda kinyume nalo analikosesha nusura kundi lililonusuriwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 19/09/2017
https://firqatunnajia.com/hakuna-nusura-kwa-ahl-us-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)