Swali: Unawanasihi nini makhatwiyb walioko al-Madiynah?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na shaka kwamba makhatwiyb wana majukumu. Wao ndio wanawaelekeza watu katika Khutbah na wanasimama mbele yao katika kila ijumaa. Kwa hivyo wanatakiwa kuiandaa Khutbah vizuri na wazugumze kwa kiasi cha haja ya nchi. Waziwazungumzie watu khabari za ulimwengu na wakatoka pale bila ya faida. Tilia nguvu katika uhalisia wao, yale wanayohitajia na yale makosa wanayofanya. Kwa sababu Khutbah imewekwa katika Shari´ah kwa sababu hii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 20/02/2018
Swali: Unawanasihi nini makhatwiyb walioko al-Madiynah?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na shaka kwamba makhatwiyb wana majukumu. Wao ndio wanawaelekeza watu katika Khutbah na wanasimama mbele yao katika kila ijumaa. Kwa hivyo wanatakiwa kuiandaa Khutbah vizuri na wazugumze kwa kiasi cha haja ya nchi. Waziwazungumzie watu khabari za ulimwengu na wakatoka pale bila ya faida. Tilia nguvu katika uhalisia wao, yale wanayohitajia na yale makosa wanayofanya. Kwa sababu Khutbah imewekwa katika Shari´ah kwa sababu hii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 20/02/2018
https://firqatunnajia.com/hakuna-mambo-ya-kidunia-katika-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)