Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa baada ya swalah na kufuta uso kwa mikono miwili baada ya kumaliza kuomba du´aa?
Jibu: Wanachuoni wamesema kuwa ni Bid´ah kunyanyua mikono baada ya swalah za faradhi. Lakini hata hivyo ni sawa mtu akaomba du´aa baina yake yeye na nafsi yake pasi na kunyanyua mikono.
Ama kuhusu kunyanyua mikono ni jambo limekuja katika Hadiyth ambazo ni dhaifu. Hakuna katika Hadiyth Swahiyh jambo la kunyanyua mikono juu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 28/10/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa baada ya swalah na kufuta uso kwa mikono miwili baada ya kumaliza kuomba du´aa?
Jibu: Wanachuoni wamesema kuwa ni Bid´ah kunyanyua mikono baada ya swalah za faradhi. Lakini hata hivyo ni sawa mtu akaomba du´aa baina yake yeye na nafsi yake pasi na kunyanyua mikono.
Ama kuhusu kunyanyua mikono ni jambo limekuja katika Hadiyth ambazo ni dhaifu. Hakuna katika Hadiyth Swahiyh jambo la kunyanyua mikono juu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 28/10/2018
https://firqatunnajia.com/hakuna-katika-hadiyth-swahiyh-jambo-la-kunyanyua-mikono-baada-ya-swalah-tano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)