Swali: Ni ipi dalili ya Kishari´ah juu ya kupatikana kwa idhini ya mtawala au wazazi wawili kwa ajili ya kupigana Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya yule aliyekuja na kutaka kwenda katika Jihaad pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akamwambia:
“Je, wazazi wako wako hai?”
Akasema:
“Ndio.”
Akamwambia:
“Kapigne nao Jihaad.”
Isitoshe, Allaah Amefanya haki ya wazazi wawili kuwa baada Yake (Subhaanahu wa Ta´ala). Haki ya wazazi wawili ni wajibu wakati Jihaad kwa njia ya kijumla ni Sunnah. Isipokuwa katika hali ambazo wanachuoni wamesema kuwa inakuwa faradhi kwa watu wote [ndio hakuhitajiki idhini ya wazazi]. Jihaad nje ya hali hizi tatu, inakuwa ni Sunnah iliyokokotezwa. Wajibu ni wenye kutangulizwa kabla ya Sunnah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
- Imechapishwa: 19/06/2018
Swali: Ni ipi dalili ya Kishari´ah juu ya kupatikana kwa idhini ya mtawala au wazazi wawili kwa ajili ya kupigana Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya yule aliyekuja na kutaka kwenda katika Jihaad pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akamwambia:
“Je, wazazi wako wako hai?”
Akasema:
“Ndio.”
Akamwambia:
“Kapigne nao Jihaad.”
Isitoshe, Allaah Amefanya haki ya wazazi wawili kuwa baada Yake (Subhaanahu wa Ta´ala). Haki ya wazazi wawili ni wajibu wakati Jihaad kwa njia ya kijumla ni Sunnah. Isipokuwa katika hali ambazo wanachuoni wamesema kuwa inakuwa faradhi kwa watu wote [ndio hakuhitajiki idhini ya wazazi]. Jihaad nje ya hali hizi tatu, inakuwa ni Sunnah iliyokokotezwa. Wajibu ni wenye kutangulizwa kabla ya Sunnah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_14.mp3
Imechapishwa: 19/06/2018
https://firqatunnajia.com/haki-ya-wazazi-inatangulia-kabla-ya-jihaad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)