Swali: Mwanamke akisafiri peke yake pasina kuwa na Mahram kwenda Hajj, je, Hajj yake inakuwa sahihi? Kwa kuwa hivi sasa tunaona wanawake wengi katika mji wangu wanasafiri bila ya kuwa na Mahram na hilo ni kutokana na gharama za Hajj ikiwa ataenda na Mahram?
Jibu: Hajj yake ni sahihi ikiwa atatimiza masharti ya Hajj kikamilifu katika nguzo zake na mambo yake ya wajibu. Akiyatimiza haya Hajj yake ni sahihi. Lakini anapata madhambi kwa kuacha Mahram. Ni sahihi pamoja na kupata madhambi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Mwanamke akisafiri peke yake pasina kuwa na Mahram kwenda Hajj, je, Hajj yake inakuwa sahihi? Kwa kuwa hivi sasa tunaona wanawake wengi katika mji wangu wanasafiri bila ya kuwa na Mahram na hilo ni kutokana na gharama za Hajj ikiwa ataenda na Mahram?
Jibu: Hajj yake ni sahihi ikiwa atatimiza masharti ya Hajj kikamilifu katika nguzo zake na mambo yake ya wajibu. Akiyatimiza haya Hajj yake ni sahihi. Lakini anapata madhambi kwa kuacha Mahram. Ni sahihi pamoja na kupata madhambi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/hajj-za-wanawake-pasina-mahram-kwa-kuchelea-gharama__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)