Swali: Mwenye kuhiji na wakati huo alikuwa anaswali. Kisha baada ya hapo akapinda na kuacha swalah. Kisha akatubu na kurudi kuanza tena kusimamisha swalah. Je, Hajj yake ya kwanza inazingatiwa kuwa ni Hajj ya Uislamu?
Jibu: Lililo salama zaidi ni yeye kurudi kuhiji tena. Kuna tofauti juu ya kwamba akitubu kwa Allaah matendo yake aliyofanya kabla ya kuritadi yanamrudilia au hayamrudilii na badala yake yanaharibika? Kuna tofauti kwa wanachuoni. Lililo salama zaidi ni yeye kurudi kuhiji tena ili aitakase dhimma yake kwa yakini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mwenye kuhiji na wakati huo alikuwa anaswali. Kisha baada ya hapo akapinda na kuacha swalah. Kisha akatubu na kurudi kuanza tena kusimamisha swalah. Je, Hajj yake ya kwanza inazingatiwa kuwa ni Hajj ya Uislamu?
Jibu: Lililo salama zaidi ni yeye kurudi kuhiji tena. Kuna tofauti juu ya kwamba akitubu kwa Allaah matendo yake aliyofanya kabla ya kuritadi yanamrudilia au hayamrudilii na badala yake yanaharibika? Kuna tofauti kwa wanachuoni. Lililo salama zaidi ni yeye kurudi kuhiji tena ili aitakase dhimma yake kwa yakini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/hajj-ya-mwenye-kurudi-kuswali-baada-ya-kuacha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)