Swali: Ni ipi hukumu ya kumwita fulani haji fulani na bwana fulani (السيد فلان)?
Jibu: Kusema haji fulani anachokusudia ni kuwa amekwishatekeleza hajj. Hakuna neno.
Kuhusu bwana, basi kutatazamwa kama kweli mtu huyo ana ubwana basi kutasemwa bwana (سيد) pasi na (الـ). Hakuna vibaya kufanya hivo kwa sharti asiwe mtenda madhambi wala kafiri. Akiwa ni mtenda madhambi au kafiri basi haijuzu kusema kwa kuachia isipokuwa mtu aegemeze kwa watu wake. Kwa mfano bwana wa wana fulani, bwana wa watu fulani na mfano wake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 50-51
- Imechapishwa: 09/08/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kumwita fulani haji fulani na bwana fulani (السيد فلان)?
Jibu: Kusema haji fulani anachokusudia ni kuwa amekwishatekeleza hajj. Hakuna neno.
Kuhusu bwana, basi kutatazamwa kama kweli mtu huyo ana ubwana basi kutasemwa bwana (سيد) pasi na (الـ). Hakuna vibaya kufanya hivo kwa sharti asiwe mtenda madhambi wala kafiri. Akiwa ni mtenda madhambi au kafiri basi haijuzu kusema kwa kuachia isipokuwa mtu aegemeze kwa watu wake. Kwa mfano bwana wa wana fulani, bwana wa watu fulani na mfano wake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 50-51
Imechapishwa: 09/08/2022
https://firqatunnajia.com/haji-fulani-na-bwana-fulani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)