Swali: Ni ipi hukumu ya kupita kati ya makaburi kwa viatu?
Jibu: Heshima ya maiti ni kama heshima yake alipohai. Haitakiwi kwa mtu achukue wepesi suala hili. Haitakiwi kwa mtu kutembea kwa viatu vyake isipokuwa wakati wa haja. Kwa mfano ardhi ina joto kali, ngumu sana, ina miba au changarawe.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kupita kati ya makaburi kwa viatu?
Jibu: Heshima ya maiti ni kama heshima yake alipohai. Haitakiwi kwa mtu achukue wepesi suala hili. Haitakiwi kwa mtu kutembea kwa viatu vyake isipokuwa wakati wa haja. Kwa mfano ardhi ina joto kali, ngumu sana, ina miba au changarawe.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/haitakiwi-kutembea-na-viatu-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)