Haikuthibiti kupangusa uso baada ya du´aa

Swali: Baada ya kumaliza kuomba du´aa imewekwa katika Shari´ah kupangusa uso?

Jibu: Hapana. Haikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Anyanyue mikono wakati wa kuomba du´aa na akimaliza aiteremshe pasi na kufuta uso wake.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
  • Imechapishwa: 23/09/2017