Swali: Kuna muislamu ambaye anamiliki mgahawa Ufaransa. Je, inajuzu kwake kuwauzia chakula – sawa kuwauzia waislamu au makafiri – mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Hapana, haijuzu. Haijuzu kwa muislamu kuuza chakula mchana wa Ramadhaan. Haijalishi kitu anawauzia waislamu au makafiri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamaad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DphfVkUSJyU
- Imechapishwa: 22/05/2018
Swali: Kuna muislamu ambaye anamiliki mgahawa Ufaransa. Je, inajuzu kwake kuwauzia chakula – sawa kuwauzia waislamu au makafiri – mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Hapana, haijuzu. Haijuzu kwa muislamu kuuza chakula mchana wa Ramadhaan. Haijalishi kitu anawauzia waislamu au makafiri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamaad al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DphfVkUSJyU
Imechapishwa: 22/05/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kwa-muislamu-kuuza-chakula-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)