Swali: Kuna mtu anaishi katika nchi ya kikafiri ambayo inakataza Hijaab masomoni ambapo mabanati zake wanaonyesha nyuso zao. Je, baba ndiye anapata madhambi au wasichana hao?
Jibu: Wote. Haijuzu kuvua Hijaab. Wanafanya ya haramu kwa sababu ya masomo? Haijuzu kufanya hivi. Waislamu wanatakiwa kufungua masomo yao binafsi katika miji ya makafiri na kuwafunza wasichana wao. Vinginevyo masomo sio lazima. Hijaab ni lazima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Kuna mtu anaishi katika nchi ya kikafiri ambayo inakataza Hijaab masomoni ambapo mabanati zake wanaonyesha nyuso zao. Je, baba ndiye anapata madhambi au wasichana hao?
Jibu: Wote. Haijuzu kuvua Hijaab. Wanafanya ya haramu kwa sababu ya masomo? Haijuzu kufanya hivi. Waislamu wanatakiwa kufungua masomo yao binafsi katika miji ya makafiri na kuwafunza wasichana wao. Vinginevyo masomo sio lazima. Hijaab ni lazima.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuvua-hijaab-kwa-sababu-ya-masomo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)