Swali: Je, inafaa kwa baba kurejesha kile alichokwishakitoa kumpa mwana wake?
Jibu: Inafaa kufanya hivo akiona kuna manufaa ya kufanya hivo na mtoto akaweza kumrudishia baba yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mtu muislamu kupeana zawadi kisha akairudisha isipokuwa baba kwa kile anachompa mtoto wake.”
Ameipokea Imaam Ahmad, Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa´iy na Ibn Maajah na ameisahihisha at-Tirmidhiy, Ibn Hibbaan na al-Haakim.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/300)
- Imechapishwa: 18/07/2021
Swali: Je, inafaa kwa baba kurejesha kile alichokwishakitoa kumpa mwana wake?
Jibu: Inafaa kufanya hivo akiona kuna manufaa ya kufanya hivo na mtoto akaweza kumrudishia baba yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mtu muislamu kupeana zawadi kisha akairudisha isipokuwa baba kwa kile anachompa mtoto wake.”
Ameipokea Imaam Ahmad, Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa´iy na Ibn Maajah na ameisahihisha at-Tirmidhiy, Ibn Hibbaan na al-Haakim.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (09/300)
Imechapishwa: 18/07/2021
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kurejesha-zawadi-uliyokwishapeana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)