Swali: Je, inajuzu kwangu kuoa mwanamke ambaye nilinyonya kwa mama yake lakini yeye hakunyonya kwa mama yangu?
Jibu: Haijuzu kwa kuwa huyo huchukuliwa kuwa ni dada yake katika kunyonya. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema: “Ni Haramu kwa kunyonya kama yalivyo Haramu yanayopatikana katika nasabu.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Je, inajuzu kwangu kuoa mwanamke ambaye nilinyonya kwa mama yake lakini yeye hakunyonya kwa mama yangu?
Jibu: Haijuzu kwa kuwa huyo huchukuliwa kuwa ni dada yake katika kunyonya. Na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema: “Ni Haramu kwa kunyonya kama yalivyo Haramu yanayopatikana katika nasabu.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuoa-mwanamke-ambaye-mwanaume-kanyonya-kwa-mama-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)