Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu asiguse dhakari yake kwa mkono wake wa kuume ilihali anakojoa.”
Je, kugusa dhakari kwa mkono wa kulia ni haramu kwa hali zote au ni wakati wa kutawadha peke yake?
Jibu: Hapana, ni katika hali zote. Lakini hata hivyo wakati wa kukojoa imekatazwa zaidi. Vilevile katika hali isiyokuwa ya kukojoa haijuzu. Akihitajia kuigusa basi aiguse kwa mkono wake wa kushoto.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu asiguse dhakari yake kwa mkono wake wa kuume ilihali anakojoa.”
Je, kugusa dhakari kwa mkono wa kulia ni haramu kwa hali zote au ni wakati wa kutawadha peke yake?
Jibu: Hapana, ni katika hali zote. Lakini hata hivyo wakati wa kukojoa imekatazwa zaidi. Vilevile katika hali isiyokuwa ya kukojoa haijuzu. Akihitajia kuigusa basi aiguse kwa mkono wake wa kushoto.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kugusa-dhakari-kwa-mkono/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)