Swali: Vipi kuhusu kuapa kwa Mtume (و النبي) ?
Jibu: Hiki ni kiapo. Haijuzu. Haijuzu kuapa isipokuwa kwa jina la Allaah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kuapa basi aape kwa Allaah au anyamaze.”
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au kushirikisha.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Vipi kuhusu kuapa kwa Mtume (و النبي) ?
Jibu: Hiki ni kiapo. Haijuzu. Haijuzu kuapa isipokuwa kwa jina la Allaah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kuapa basi aape kwa Allaah au anyamaze.”
“Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah amekufuru au kushirikisha.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuapa-kwa-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)