Swali: Ni ipi hukumu ya kuzitia nyusi rangi kwa rangi ya nywele?
Jibu: Haijuzu kubadilisha nywele. Zinatakiwa kubakia kama zilivyo. Nywele za kichwani na za kwenye nyusi zibaki kama jinsi Allaah alivyoziumba. Isipokuwa ikiwa kama nywele zake zimeumbuka; hapo ndipo ataondosha huo muumbuko. Vinginevyo aziache na wala asizibadilishe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
- Imechapishwa: 08/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzitia nyusi rangi kwa rangi ya nywele?
Jibu: Haijuzu kubadilisha nywele. Zinatakiwa kubakia kama zilivyo. Nywele za kichwani na za kwenye nyusi zibaki kama jinsi Allaah alivyoziumba. Isipokuwa ikiwa kama nywele zake zimeumbuka; hapo ndipo ataondosha huo muumbuko. Vinginevyo aziache na wala asizibadilishe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
Imechapishwa: 08/06/2018
https://firqatunnajia.com/haifia-kubadilisha-rangi-ya-nywele-za-kichwani-na-nyusiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)