Swali: Mtu huyu alikuwa anataka kujua kama anapata dhambi kwa kuwahudumia chakula makafiri mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Haijuzu kuwahudumia chakula wakiwa sio waislamu na wakataka kuhudumiwa chakula Ramadhaan. Mtu asifanye hivo na akawasaidia juu ya jambo hilo ijapokuwa wao ni makafiri na haisihi kwako kufunga. Lakini wao ni wenye kuguswa na mataga ya Shari´ah. Wakiwa ni wenye kuguswa si sawa kuwasaidia katika mambo yanayoenda kinyume na Shari´ah. Bali wanatakiwa kunasihiwa na kuelekezwa kwani huenda wakaingia katika Uislamu na mtu akapata mfano wa ujira wao:
“Yule mwenye kuelekeza katika kheri anapata ujira mfano wa yule mwenye kuifanya.”
“Allaah kukuongozea mtu mmoja ni bora kwako kuliko ngamia wekundu.”
Hivi ndivyo amesema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=b31JsAUehuM
- Imechapishwa: 22/05/2018
Swali: Mtu huyu alikuwa anataka kujua kama anapata dhambi kwa kuwahudumia chakula makafiri mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Haijuzu kuwahudumia chakula wakiwa sio waislamu na wakataka kuhudumiwa chakula Ramadhaan. Mtu asifanye hivo na akawasaidia juu ya jambo hilo ijapokuwa wao ni makafiri na haisihi kwako kufunga. Lakini wao ni wenye kuguswa na mataga ya Shari´ah. Wakiwa ni wenye kuguswa si sawa kuwasaidia katika mambo yanayoenda kinyume na Shari´ah. Bali wanatakiwa kunasihiwa na kuelekezwa kwani huenda wakaingia katika Uislamu na mtu akapata mfano wa ujira wao:
“Yule mwenye kuelekeza katika kheri anapata ujira mfano wa yule mwenye kuifanya.”
“Allaah kukuongozea mtu mmoja ni bora kwako kuliko ngamia wekundu.”
Hivi ndivyo amesema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=b31JsAUehuM
Imechapishwa: 22/05/2018
https://firqatunnajia.com/haifai-kuwahudumia-makafiri-chakula-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)