Swali: Tunafanya kazi kwenye kampuni inayokodisha vifaa. Wakati kazi inapomalizika mjumbe anatutaka kuandika bei ya ziada kwenye risiti kuliko uhalisia ulivyo. Kwa mfano biashara ilikuwa pesa 500 anatutaka kuandika pesa 600 kwenye risiti…
Jibu: Haijuzu. Kufanya hivi ni haramu. Huu ni uongo na hila na wala haijuzu. Andika kama ilivyo, sawa na makubaliano yalivyo, na wala usizidishe juu yake ili usije kuwa mwenye kudhulumu kampuni na mfanyikazi. Andika mambo yalivyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
- Imechapishwa: 28/12/2017
Swali: Tunafanya kazi kwenye kampuni inayokodisha vifaa. Wakati kazi inapomalizika mjumbe anatutaka kuandika bei ya ziada kwenye risiti kuliko uhalisia ulivyo. Kwa mfano biashara ilikuwa pesa 500 anatutaka kuandika pesa 600 kwenye risiti…
Jibu: Haijuzu. Kufanya hivi ni haramu. Huu ni uongo na hila na wala haijuzu. Andika kama ilivyo, sawa na makubaliano yalivyo, na wala usizidishe juu yake ili usije kuwa mwenye kudhulumu kampuni na mfanyikazi. Andika mambo yalivyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (84) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17577
Imechapishwa: 28/12/2017
https://firqatunnajia.com/ghushi-na-risiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)