Swali: Nina ruhusa ya kuswali nyumbani kwangu mvua ikinyesha na nikasikia adhaana ya ´ishaa au ni lazima kuitikia muadhini na kwenda msikitini?
Jibu: Tumesema kuwa ikiwa unapata tabu ya kutoka kwenda msikitini hakuna neno ukaswali nyumbani. Lakini ikiwa uko pamoja na wanaume wengine, sawa wawe ni watoto wako au wanaume wengine, swalini mkusanyiko. Ni sawa wakaswali nyumbani hata kama watakuwa na kipando. Lakini hakuna shaka yoyote lililo bora ni wewe kutoka na kwenda msikitini kuswali na waislamu wenzako. Lakini hata hivyo uko na ruhusa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (05)
- Imechapishwa: 02/05/2020
Swali: Nina ruhusa ya kuswali nyumbani kwangu mvua ikinyesha na nikasikia adhaana ya ´ishaa au ni lazima kuitikia muadhini na kwenda msikitini?
Jibu: Tumesema kuwa ikiwa unapata tabu ya kutoka kwenda msikitini hakuna neno ukaswali nyumbani. Lakini ikiwa uko pamoja na wanaume wengine, sawa wawe ni watoto wako au wanaume wengine, swalini mkusanyiko. Ni sawa wakaswali nyumbani hata kama watakuwa na kipando. Lakini hakuna shaka yoyote lililo bora ni wewe kutoka na kwenda msikitini kuswali na waislamu wenzako. Lakini hata hivyo uko na ruhusa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (05)
Imechapishwa: 02/05/2020
https://firqatunnajia.com/ghafla-anataka-kwenda-msikitini-mvua-inaanza-kkunyesha-%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)