Swali: Hadiyth isemayo:
“Anapofariki mwanaadamu basi matendo yake yote yanakatika isipokuwa mambo matatu; swadaqah yenye kuendelea, elimu ambayo watu wananufaika kwayo au mtoto mwema mwenye kumuombea du´aa.”[1]
Je, elimu za kudunia pia zinaingia katika Hadiyth hii kama elimu ya hesabu na matibabu?
Jibu: Hapana. Haidyth inakusudia elimu ya Kishari´ah na sio elimu za kidunia. Bila shaka zimeruhusiwa, lakini hazichukui hukumu ya Kishari´ah.
[1] Muslim (1631).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/10/2018
Swali: Hadiyth isemayo:
“Anapofariki mwanaadamu basi matendo yake yote yanakatika isipokuwa mambo matatu; swadaqah yenye kuendelea, elimu ambayo watu wananufaika kwayo au mtoto mwema mwenye kumuombea du´aa.”[1]
Je, elimu za kudunia pia zinaingia katika Hadiyth hii kama elimu ya hesabu na matibabu?
Jibu: Hapana. Haidyth inakusudia elimu ya Kishari´ah na sio elimu za kidunia. Bila shaka zimeruhusiwa, lakini hazichukui hukumu ya Kishari´ah.
[1] Muslim (1631).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/10/2018
https://firqatunnajia.com/elimu-za-kidunia-zinanuifaisha-baada-ya-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)