Swali: Ni siku ngapi za eda kwa mwenye Talaka Baain atampomtaliki mume wake naye ni ghaibu kwake? Na je, kuna tofauti kati ya Talaka ya aliye ghaibu na aliyepo?
Jibu: Hazitofautiani. Eda yake inaanza tokea siku ile alimtaliki hata kama ikiwa mke hakujua naye mume hayupo. Hata kama itakuwa hakujua ila baada ya kwisho kwa eda, atakuwa amekwishatoka katika eda.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10001
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Ni siku ngapi za eda kwa mwenye Talaka Baain atampomtaliki mume wake naye ni ghaibu kwake? Na je, kuna tofauti kati ya Talaka ya aliye ghaibu na aliyepo?
Jibu: Hazitofautiani. Eda yake inaanza tokea siku ile alimtaliki hata kama ikiwa mke hakujua naye mume hayupo. Hata kama itakuwa hakujua ila baada ya kwisho kwa eda, atakuwa amekwishatoka katika eda.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10001
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/eda-ya-mke-inaanza-tokea-siku-ile-mume-kamtaliki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)