al-Haafidhw al-Mizziy amesema:
“al-Husayn bin Waaqid na wengineo wameeleza kwamba Anas amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliniombea du´aa akasema:
اللهم أكثر ماله و ولده، و أطل حياته
”Ee Allaah! Mkithirishie mali na kizazi chake na urefushe uhai wake.”[1]
Inafahamisha kwamba inafaa kumwombea mtu du´aa ya maisha marefu, kama ilivyozoeleka katika baadhi ya miji ya kiarabu, tofauti na wanavosema baadhi ya wanachuoni. Linalotilia nguvu hilo ni kwamba hakuna tofauti kati ya du´aa hii na du´aa ya kufuzu na mengineyo, kwa sababu yote hayo ni yenye kukadiriwa.
[1] Tahdhiyb-ul-Kamaal (2/364).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (5/288)
- Imechapishwa: 24/07/2020
al-Haafidhw al-Mizziy amesema:
“al-Husayn bin Waaqid na wengineo wameeleza kwamba Anas amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliniombea du´aa akasema:
اللهم أكثر ماله و ولده، و أطل حياته
”Ee Allaah! Mkithirishie mali na kizazi chake na urefushe uhai wake.”[1]
Inafahamisha kwamba inafaa kumwombea mtu du´aa ya maisha marefu, kama ilivyozoeleka katika baadhi ya miji ya kiarabu, tofauti na wanavosema baadhi ya wanachuoni. Linalotilia nguvu hilo ni kwamba hakuna tofauti kati ya du´aa hii na du´aa ya kufuzu na mengineyo, kwa sababu yote hayo ni yenye kukadiriwa.
[1] Tahdhiyb-ul-Kamaal (2/364).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (5/288)
Imechapishwa: 24/07/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-maisha-marefu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)