Swali: Ni ipi hukumu ya kunyunyua mikono katika du´aa ya Khutbah ya Ijumaa?
Jibu: Haijuzu, kwa imamu na maamu, kunyanyua mikono katika du´aa ya siku ya Ijumaa. Isipokuwa katika du´aa ya kuomba kunyweshelezewa. Akimuomba mvua katika du´aa ya siku ya Ijumaa wanyanyue mikono yao. Mbali na du´aa ya kunyweshelezewa siku ya Ijumaa kusinyanyuliwe mikono.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 11/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyunyua mikono katika du´aa ya Khutbah ya Ijumaa?
Jibu: Haijuzu, kwa imamu na maamu, kunyanyua mikono katika du´aa ya siku ya Ijumaa. Isipokuwa katika du´aa ya kuomba kunyweshelezewa. Akimuomba mvua katika du´aa ya siku ya Ijumaa wanyanyue mikono yao. Mbali na du´aa ya kunyweshelezewa siku ya Ijumaa kusinyanyuliwe mikono.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 11/04/2018
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-ijumaa-hakunyanyuliwi-mikono/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)