Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kusema:
أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
“A´udhubi Allaahi min as-Shaytwaan ar-Rajiym”
wakati wa kupiga miayo?
Jibu: Hapana. ´Awwaam ndio wenye kusema hivo. Lililowekwa katika Shari´ah ni yule mwenye kupiga miayo ajizuie kiasi na anavyoweza. Ikiwa hatoweza kufanya hivo aweke mkono au kitu kingine kwenye mdomo wake. Apige miayo kwa kufungua kinywa na wala asitoe sauti. Ajizuie kiasi na anavyoweza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
- Imechapishwa: 07/06/2020
Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kusema:
أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
“A´udhubi Allaahi min as-Shaytwaan ar-Rajiym”
wakati wa kupiga miayo?
Jibu: Hapana. ´Awwaam ndio wenye kusema hivo. Lililowekwa katika Shari´ah ni yule mwenye kupiga miayo ajizuie kiasi na anavyoweza. Ikiwa hatoweza kufanya hivo aweke mkono au kitu kingine kwenye mdomo wake. Apige miayo kwa kufungua kinywa na wala asitoe sauti. Ajizuie kiasi na anavyoweza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-13.mp3
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-wakati-wa-kupiga-miayo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)