Swali: Tumesoma kwamba tumeamrishwa kufanya sababu. Wanachuoni wamesema kwamba kuomba du´aa ni miongoni mwa sababu kubwa. Je, inawezekana kutendea kazi sababu hii pekee na mtu akatosheka kwayo?
Jibu: Hapana, usitosheke kwayo. Fanya sababu zengine zilizoruhusiwa zaidi ya kuomba du´aa tu. Kuomba du´aa ni moja katika sababu. Ikiwa unataka kufa kwa sababu ya njaa utasema kuwa huli na inatosha tu kuomba du´aa? Hapana. Ni lazima ufanye sababu zengine za kilazima pamoja na kuomba du´aa. Ikiwa umepatwa na maradhi makali na dawa ipo utaacha kujitibisha kwa madai eti unatosheka tu kuomba du´aa? Hapana, si sawa kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 14/06/2019
Swali: Tumesoma kwamba tumeamrishwa kufanya sababu. Wanachuoni wamesema kwamba kuomba du´aa ni miongoni mwa sababu kubwa. Je, inawezekana kutendea kazi sababu hii pekee na mtu akatosheka kwayo?
Jibu: Hapana, usitosheke kwayo. Fanya sababu zengine zilizoruhusiwa zaidi ya kuomba du´aa tu. Kuomba du´aa ni moja katika sababu. Ikiwa unataka kufa kwa sababu ya njaa utasema kuwa huli na inatosha tu kuomba du´aa? Hapana. Ni lazima ufanye sababu zengine za kilazima pamoja na kuomba du´aa. Ikiwa umepatwa na maradhi makali na dawa ipo utaacha kujitibisha kwa madai eti unatosheka tu kuomba du´aa? Hapana, si sawa kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
Imechapishwa: 14/06/2019
https://firqatunnajia.com/duaa-ni-miongoni-mwa-sababu-kubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)