Swali: Mtunzi wa kitabu anakusudia nini anaposema kwamba:
“Du´aa ndio ´ibaadah.”?
Kwani du´aa ndio msingi wa Tawhiyd?
Jibu:
“Du´aa ndio ´ibaadah.”
Du´aa ndio ´ibaadah yenyewe. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ
“Niombeni Nitakuitikieni.”[1]
Kisha akasema:
إِنَّ الَّذِينَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِي سَيَدْخُلُونَ جَهَنَّمَ دَاخِرِينَ
”Hakika wale wanaotakabari na kuniabudu wataingia Jahanam wadhalilike.”[2]
Hivyo (Subhaanahu wa Ta´ala) akaiita kuwa ni ´ibaadah.
[1] 40:60
[2] 40:60
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 59
- Imechapishwa: 04/07/2019
Swali: Mtunzi wa kitabu anakusudia nini anaposema kwamba:
“Du´aa ndio ´ibaadah.”?
Kwani du´aa ndio msingi wa Tawhiyd?
Jibu:
“Du´aa ndio ´ibaadah.”
Du´aa ndio ´ibaadah yenyewe. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ
“Niombeni Nitakuitikieni.”[1]
Kisha akasema:
إِنَّ الَّذِينَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِي سَيَدْخُلُونَ جَهَنَّمَ دَاخِرِينَ
”Hakika wale wanaotakabari na kuniabudu wataingia Jahanam wadhalilike.”[2]
Hivyo (Subhaanahu wa Ta´ala) akaiita kuwa ni ´ibaadah.
[1] 40:60
[2] 40:60
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 59
Imechapishwa: 04/07/2019
https://firqatunnajia.com/duaa-ni-aina-kubwa-ya-ibaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)