al-Fadhwl amesema:
“Nilisema kumwambia Abu ´Abdillaah: “Nifanye nini kama nataka kukhitimisha Qur-aan? Niiweke katika Witr au Tarawiyh? Madhumini ni sisi kuomba du´aa kati ya Rak´ah mbili.” Akasema: “Unapomaliza kusoma Qur-aan yote nyanyua mikono kabla ya Rukuu´ na uombe pamoja na sisi tumesimama katika swalah. Refusha du´aa.” Nikasema: “Niombe nini?” Akasema: “Unachotaka.” Nikafanya kama alivosema. Akasimama nyuma yangu na kuomba huku amenyanyua mikono.”
- Mhusika: Imaam Abuul-Husayn Muhammad bin Abiy Ya´laa al-Hanbaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Twabaqaat-ul-Hanaabilah (2/192)
- Imechapishwa: 11/06/2017
al-Fadhwl amesema:
“Nilisema kumwambia Abu ´Abdillaah: “Nifanye nini kama nataka kukhitimisha Qur-aan? Niiweke katika Witr au Tarawiyh? Madhumini ni sisi kuomba du´aa kati ya Rak´ah mbili.” Akasema: “Unapomaliza kusoma Qur-aan yote nyanyua mikono kabla ya Rukuu´ na uombe pamoja na sisi tumesimama katika swalah. Refusha du´aa.” Nikasema: “Niombe nini?” Akasema: “Unachotaka.” Nikafanya kama alivosema. Akasimama nyuma yangu na kuomba huku amenyanyua mikono.”
Mhusika: Imaam Abuul-Husayn Muhammad bin Abiy Ya´laa al-Hanbaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Twabaqaat-ul-Hanaabilah (2/192)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/duaa-ndefu-kwenye-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)