Swali: Kuna du´aa iliyosuniwa mtu kusema ili apate kusalimika kutokamana na kujionyesha (الرياء)?
Jibu: Kuna du´aa inayotambulika:
اللهم إني أعوذُ بك أن أشرِكَ بك و أنا أعلمُ ، و أستغفِرُك لما لا أَعلمُ
“Ee Allaah! Najilinda Kwako kukushirikisha Wewe ilihali najua na Unisamehe kwa yale nisiyoyajua.“[1]
Du´aa hii inaombwa siku zote. Inatakikana kwa muislamu daima aombe du´aa hii.
Swali: Aombe du´aa hii kabla ya kuanza kitendo chochote?
Jibu: Nyakati zote.
[1] Ahmad (1906). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh al-Adab al-Mufrad” (551).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21904/ما-الدعاء-المشروع-لمن-خشي-الرياء
- Imechapishwa: 29/09/2022
Swali: Kuna du´aa iliyosuniwa mtu kusema ili apate kusalimika kutokamana na kujionyesha (الرياء)?
Jibu: Kuna du´aa inayotambulika:
اللهم إني أعوذُ بك أن أشرِكَ بك و أنا أعلمُ ، و أستغفِرُك لما لا أَعلمُ
“Ee Allaah! Najilinda Kwako kukushirikisha Wewe ilihali najua na Unisamehe kwa yale nisiyoyajua.“[1]
Du´aa hii inaombwa siku zote. Inatakikana kwa muislamu daima aombe du´aa hii.
Swali: Aombe du´aa hii kabla ya kuanza kitendo chochote?
Jibu: Nyakati zote.
[1] Ahmad (1906). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh al-Adab al-Mufrad” (551).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21904/ما-الدعاء-المشروع-لمن-خشي-الرياء
Imechapishwa: 29/09/2022
https://firqatunnajia.com/duaa-kwa-anayechelea-kujionyesha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)