Swali: Kuna du´aa dhidi ya wasiwasi?
Jibu: Ndio. Atake kinga dhidi ya shaytwaan. Wasiwasi unatokamana na shaytwaan. Akihisi wasiwasi atake kinga dhidi ya shaytwaan:
وَإِمَّا يَنزَغَنَّكَ مِنَ الشَّيْطَانِ نَزْغٌ فَاسْتَعِذْ بِاللَّـهِ ۖ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
“Utakapokuchochea uchochezi kutoka kwa shaytwaan, basi omba kinga kwa Allaah. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia, Mjuzi.” (41:36)
Anachotakiwa ni yeye kumuomba Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa na apuuzie wasiwasi. Kwa idhini ya Allaah utamwondoka. Asiujali, si katika swalah, wudhuu´ wala kitu kingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Kuna du´aa dhidi ya wasiwasi?
Jibu: Ndio. Atake kinga dhidi ya shaytwaan. Wasiwasi unatokamana na shaytwaan. Akihisi wasiwasi atake kinga dhidi ya shaytwaan:
وَإِمَّا يَنزَغَنَّكَ مِنَ الشَّيْطَانِ نَزْغٌ فَاسْتَعِذْ بِاللَّـهِ ۖ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
“Utakapokuchochea uchochezi kutoka kwa shaytwaan, basi omba kinga kwa Allaah. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia, Mjuzi.” (41:36)
Anachotakiwa ni yeye kumuomba Allaah kinga dhidi ya shaytwaan aliyefukuzwa na apuuzie wasiwasi. Kwa idhini ya Allaah utamwondoka. Asiujali, si katika swalah, wudhuu´ wala kitu kingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/duaa-dhidi-ya-wasiwasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)