Swali: Sisi tuko na ada katika mwezi wa Ramadhaan baada ya [kila Rak´ah mbili za] Tarawiyh kwamba tunaomba du´aa ya mkusanyiko ambayo inakaririwakaririwa na waswaliji na wanamalizia du´aa hiyo swalah. Ni ipi hukumu ya kitendo hicho?
Jibu: Hii ni Bid´ah. Hakuna dhikr wala du´aa. Watu wasiombe kwa pamoja. Kila mmoja aombe kivyake. Muislamu aombe baina yake yeye na Mola Wake (Jalla wa ´Alaa). Watu wasiombe du´aa wala kufanya dhikr kwa pamoja.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb https://binbaz.org.sa/fatwas/27434/%D8%A7%D9%84%D8%AF%D8%B9%D8%A7%D8%A1-%D8%B9%D9%82%D8%A8-%D8%B5%D9%84%D8%A7%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B1%D8%A7%D9%88%D9%8A%D8%AD-%D8%AC%D9%85%D8%A7%D8%B9%D9%8A%D8%A7
- Imechapishwa: 07/05/2020
Swali: Sisi tuko na ada katika mwezi wa Ramadhaan baada ya [kila Rak´ah mbili za] Tarawiyh kwamba tunaomba du´aa ya mkusanyiko ambayo inakaririwakaririwa na waswaliji na wanamalizia du´aa hiyo swalah. Ni ipi hukumu ya kitendo hicho?
Jibu: Hii ni Bid´ah. Hakuna dhikr wala du´aa. Watu wasiombe kwa pamoja. Kila mmoja aombe kivyake. Muislamu aombe baina yake yeye na Mola Wake (Jalla wa ´Alaa). Watu wasiombe du´aa wala kufanya dhikr kwa pamoja.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb https://binbaz.org.sa/fatwas/27434/%D8%A7%D9%84%D8%AF%D8%B9%D8%A7%D8%A1-%D8%B9%D9%82%D8%A8-%D8%B5%D9%84%D8%A7%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B1%D8%A7%D9%88%D9%8A%D8%AD-%D8%AC%D9%85%D8%A7%D8%B9%D9%8A%D8%A7
Imechapishwa: 07/05/2020
https://firqatunnajia.com/dhikr-za-pamoja-katika-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)