Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Mimi nimejiweka mbali na kila muislamu anayeishi kati ya washirikina.”[1]

Je, ni dalili yenye kuthibitisha kwamba dhambi hii ni kubwa?

Jibu: Ndio. Kuishi kati ya washirikina, kutulizana kati yao na mtu akaacha kuhajiri katika miji ya waislamu anaguswa na matishio haya.

[1] Abu Daawuud (2647) na at-Tirmidhiy (1604).

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
  • Imechapishwa: 31/10/2018