Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi nimejiweka mbali na kila muislamu anayeishi kati ya washirikina.”[1]
Je, ni dalili yenye kuthibitisha kwamba dhambi hii ni kubwa?
Jibu: Ndio. Kuishi kati ya washirikina, kutulizana kati yao na mtu akaacha kuhajiri katika miji ya waislamu anaguswa na matishio haya.
[1] Abu Daawuud (2647) na at-Tirmidhiy (1604).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 31/10/2018
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi nimejiweka mbali na kila muislamu anayeishi kati ya washirikina.”[1]
Je, ni dalili yenye kuthibitisha kwamba dhambi hii ni kubwa?
Jibu: Ndio. Kuishi kati ya washirikina, kutulizana kati yao na mtu akaacha kuhajiri katika miji ya waislamu anaguswa na matishio haya.
[1] Abu Daawuud (2647) na at-Tirmidhiy (1604).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
Imechapishwa: 31/10/2018
https://firqatunnajia.com/dhambi-kubwa-kutohajiri-katika-mji-wa-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)