Swali: Vipi kuelezea Da´wah hii ya Kiislamu ya kwamba ni ”Wahhaabiyyah”. Ni yapi maelekezo yako juu ya maneno na hujuma kama hizi?
Jibu: Da´wah inanasibishwa kwa mwenye nayo ikiwa yeye ndiye kaizua. Ikiwa yale aliyolingania mtu huyo ni yenye kuafikiana na Qur-aan na Sunnah basi hainasibishwi kwake. Bali ni Da´wah ya Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Sio Da´wah ya Wahhaabiyyah. Hakuna ilichofanya Da´wah ya Wahhaabiyyah isipokuwa tu imekuja kuhuisha na kuwawekea watu wazi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
- Imechapishwa: 30/12/2017
Swali: Vipi kuelezea Da´wah hii ya Kiislamu ya kwamba ni ”Wahhaabiyyah”. Ni yapi maelekezo yako juu ya maneno na hujuma kama hizi?
Jibu: Da´wah inanasibishwa kwa mwenye nayo ikiwa yeye ndiye kaizua. Ikiwa yale aliyolingania mtu huyo ni yenye kuafikiana na Qur-aan na Sunnah basi hainasibishwi kwake. Bali ni Da´wah ya Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Sio Da´wah ya Wahhaabiyyah. Hakuna ilichofanya Da´wah ya Wahhaabiyyah isipokuwa tu imekuja kuhuisha na kuwawekea watu wazi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
Imechapishwa: 30/12/2017
https://firqatunnajia.com/dawah-ya-wahhaabiyyah-imehuisha-na-si-kuzusha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)