Swali: Vipi tutamraddi yule mwenye kuwakimbiza watu na Da´wah ya Shaykh [Ibn ´Abdil-Wahhaab] kwa kusema kwamba ndio chimbuko la ugaidi?
Jibu: Da´wah ya Shaykh iko wazi. Sio chimbuko la ugaidi na wala haikuleta ugaidi. Hakuna ilicholeta isipokuwa kheri katika miji na watu. Inajieleza yenyewe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
- Imechapishwa: 01/01/2018
Swali: Vipi tutamraddi yule mwenye kuwakimbiza watu na Da´wah ya Shaykh [Ibn ´Abdil-Wahhaab] kwa kusema kwamba ndio chimbuko la ugaidi?
Jibu: Da´wah ya Shaykh iko wazi. Sio chimbuko la ugaidi na wala haikuleta ugaidi. Hakuna ilicholeta isipokuwa kheri katika miji na watu. Inajieleza yenyewe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
Imechapishwa: 01/01/2018
https://firqatunnajia.com/dawah-ya-imaam-ibn-abdil-wahhaab-imetakasika-kabisa-na-ugaidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)