Darsa za wanawake katika mitandao ya kijamii

Swali: Kuna walinganizi wa kike ambao wanaeneza darsa zao katika mitandao ya kijamii ili wanamme na wanawake wote wasikilize. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?

Jibu: Ikiwa sauti zao ni zenye kufitinisha, haijuzu. Lakini ikiwa sauti zao si zenye kufitinisha, haina neno.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
  • Imechapishwa: 05/02/2022