771- Ahmad ametuhadithia: Hammaad bin Khaalid ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Abiy Dhi´b, kutoka kwa az-Zuhriy ambaye amesema:
“Inafaa kwa mwanamke mwenye damu ya ugonjwa kutufu kwenye Nyumba, kutembea kati ya Swafaa na Marwah na kufanya jimaa na mume wake.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 163
- Imechapishwa: 26/03/2021
771- Ahmad ametuhadithia: Hammaad bin Khaalid ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Abiy Dhi´b, kutoka kwa az-Zuhriy ambaye amesema:
“Inafaa kwa mwanamke mwenye damu ya ugonjwa kutufu kwenye Nyumba, kutembea kati ya Swafaa na Marwah na kufanya jimaa na mume wake.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 163
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/damu-ya-ugonjwa-katika-hajj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)