Swali: Je, damu ya fisi ni dawa ya baadhi ya maradhi? Nimemuona mtu anainywa na kusema kwamba ni dawa?
Jibu: Damu yake ni najisi. Damu yenye kuchirizika wakati wa kuchinja haitumiwi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah hakufanya kupona kwa Ummah wangu kwa yale aliyoharamisha.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 01/09/2018
Swali: Je, damu ya fisi ni dawa ya baadhi ya maradhi? Nimemuona mtu anainywa na kusema kwamba ni dawa?
Jibu: Damu yake ni najisi. Damu yenye kuchirizika wakati wa kuchinja haitumiwi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah hakufanya kupona kwa Ummah wangu kwa yale aliyoharamisha.”
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
Imechapishwa: 01/09/2018
https://firqatunnajia.com/damu-ya-fisi-inatibu-baadhi-ya-maradhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)