Swali: Baba yangu hutokwa na damu puani mwake na anakuwa na leso mkononi mwake kwa ajili ya kuzuia. Afanye nini katikati ya swalah? Je, kuna kitu juu yake endapo ataswali na huku damu yamtoka?
Jibu: Nimechopata kufahamu katika swali ni kwamba ni jambo lenye kuendelea. Hakuna neno juu yake. Hakuna juu yake neno juu ya damu hii yenye kumtoka. Kama alivyosema achukue leso na apanguse pua yake. Lakini ikimtokea katikati ya swalah yake atoke ndani ya swalah au aendelee? Tunasema ikiwa hilo linamshughulisha basi atoke kwa kuwa ni mwenye udhuru. Ikiwa halimshughulishi aendelee.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1614
- Imechapishwa: 25/09/2018
Swali: Baba yangu hutokwa na damu puani mwake na anakuwa na leso mkononi mwake kwa ajili ya kuzuia. Afanye nini katikati ya swalah? Je, kuna kitu juu yake endapo ataswali na huku damu yamtoka?
Jibu: Nimechopata kufahamu katika swali ni kwamba ni jambo lenye kuendelea. Hakuna neno juu yake. Hakuna juu yake neno juu ya damu hii yenye kumtoka. Kama alivyosema achukue leso na apanguse pua yake. Lakini ikimtokea katikati ya swalah yake atoke ndani ya swalah au aendelee? Tunasema ikiwa hilo linamshughulisha basi atoke kwa kuwa ni mwenye udhuru. Ikiwa halimshughulishi aendelee.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1614
Imechapishwa: 25/09/2018
https://firqatunnajia.com/damu-kutoka-puani-katikati-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)