Swali 173: Ni ipi hukumu mwanamke mwenye nifasi akiona damu kabla ya kuzaa kwa zaidi ya siku tatu?
Jibu: Uwazi wa maneno ya Fuqahaa´ (Rahimahumu Allaah) ni kwamba yale atayoona mwanamke wa nifasi kabla ya kuzaa kwa zaidi ya siku tatu basi hiyo ni damu fasadi. Haithibitishi hukumu ya nifasi japokuwa atahisi uchungu katika wakati huo.
- Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 121
- Imechapishwa: 04/10/2019
Swali 173: Ni ipi hukumu mwanamke mwenye nifasi akiona damu kabla ya kuzaa kwa zaidi ya siku tatu?
Jibu: Uwazi wa maneno ya Fuqahaa´ (Rahimahumu Allaah) ni kwamba yale atayoona mwanamke wa nifasi kabla ya kuzaa kwa zaidi ya siku tatu basi hiyo ni damu fasadi. Haithibitishi hukumu ya nifasi japokuwa atahisi uchungu katika wakati huo.
Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 121
Imechapishwa: 04/10/2019
https://firqatunnajia.com/damu-inayotoka-zaidi-ya-siku-tatu-kabla-ya-kuzaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)