Swali: Mwanamke kabla ya kujifungua anakuwa na alama na anatokwa na maji maji. Na wakati mwingine hali inaendelea namna hii siku mbili mpaka zaidi. Ipi hukumu ya Swalah wakati wa hali hiyo?
Jibu: Ikiwa ni kabla ya kujifungua, haidhuru In Shaa Allaah. Anatakiwa kuswali. Na ikiwa ni damu, huzingatiwa kuwa ni damu katika damu ya uzazi (nifasi). Hapo Swalah itasimama kwake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2594
- Imechapishwa: 07/03/2018
Swali: Mwanamke kabla ya kujifungua anakuwa na alama na anatokwa na maji maji. Na wakati mwingine hali inaendelea namna hii siku mbili mpaka zaidi. Ipi hukumu ya Swalah wakati wa hali hiyo?
Jibu: Ikiwa ni kabla ya kujifungua, haidhuru In Shaa Allaah. Anatakiwa kuswali. Na ikiwa ni damu, huzingatiwa kuwa ni damu katika damu ya uzazi (nifasi). Hapo Swalah itasimama kwake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=2594
Imechapishwa: 07/03/2018
https://firqatunnajia.com/damu-inayomtoka-mwanamke-kabla-ya-kujifungua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)