Swali: Baadhi ya wanachuoni wamesema kuwa mwanamke mjamzito na mnyonyeshaji wakikhofia juu ya mtoto haiwalazimikii juu yao kitu isipokuwa kulipa tu na hakuna dalili ya kulisha. Unasemaje juu ya hili?
Jibu: Mjamzito na mnyonyeshaji hawakutajwa katika Qur-aan [kuhusu rukhusa ya kula na kulipa siku nyingine]. Kumetajwa mgonjwa na msafiri tu na mzee pia asiyeweza kufunga. Hii ni Fatwa ya Maswahabah, kama Ibn ´Umar na wengineo. Hili limepokelewa kutoka kwa Maswahabah. Halikukanushwa. Sio lazima kuwepo dalili katika Qur-aan na Sunnah, bali matendo na Fataawaa za Maswahabah zinatendewa kazi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-02-09.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Mjamzito na mnyonyeshaji hawakutajwa katika Qur-aan [kuhusu rukhusa ya kula na kulipa siku nyingine]. Kumetajwa mgonjwa na msafiri tu na mzee pia asiyeweza kufunga. Hii ni Fatwa ya Maswahabah, kama Ibn ´Umar na wengineo. Hili limepokelewa kutoka kwa Maswahabah. Halikukanushwa. Sio lazima kuwepo dalili katika Qur-aan na Sunnah, bali matendo na Fataawaa za Maswahabah zinatendewa kazi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-02-09.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/dalili-ya-mjamzito-na-mnyonyeshaji-kulipa-madeni-yao-na-kulisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)