Swali: Ni ipi dalili ya kutojuzu kujumuisha baina ya swalah ya ´Aswr na Ijumaa?
Jibu: Kwa kuwa halikufanywa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala na yeyote katika Maswahabah zake. Kulinyesha mvua na huku Mtume anatoa Khutbah siku ya Ijumaa na hakujumuisha pamoja na ´Aswr. Alitoka na mvua inanyesha, lakini pamoja na hivyo hakujumuisha pamoja na ´Aswr. Hii ndio dalili ya wazi kabisa katika masuala haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-23.mp3
- Imechapishwa: 09/11/2014
Swali: Ni ipi dalili ya kutojuzu kujumuisha baina ya swalah ya ´Aswr na Ijumaa?
Jibu: Kwa kuwa halikufanywa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala na yeyote katika Maswahabah zake. Kulinyesha mvua na huku Mtume anatoa Khutbah siku ya Ijumaa na hakujumuisha pamoja na ´Aswr. Alitoka na mvua inanyesha, lakini pamoja na hivyo hakujumuisha pamoja na ´Aswr. Hii ndio dalili ya wazi kabisa katika masuala haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-23.mp3
Imechapishwa: 09/11/2014
https://firqatunnajia.com/dalili-juu-ya-kutojuzu-kujumuisha-aswr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)