Swali: Nafanya kazi kama daktari katika taasisi ya udaktari na huwafunua wanamme na wanawake. Hutokea wakati mwingine wakati ninapofanya kazi yangu na wanawake yakaamka matamanio yangu pamoja na kwamba napambana na jambo hilo. Jambo hili hunitokea mara nyingi. Ni ipi hukumu ya wudhuu´ wangu nikiwa katika hali hii? Unaninasihi nini?
Jibu: Haijuzu kwako kuwafunua wanawake. Haijuzu kwa mwanamme kuwafunua wanawake hata kama hayakuamka matamanio yako. Kwa sababu hiyo ni njia inayopelekea katika fitina. Wanawake wafunuliwe na madaktari wanawake wenzao. Wanamme wafunuliwe na madaktari wanamme wenzao. Haijuzu kinyume chake. Kwa sababu jambo hilo ndani yake mna fitina. Matamanio yakiamka basi jambo linakuwa baya zaidi. Ikiwa matamanio yameambatana na kugusa ngozi ya mwanamke pasi na kizuizi kitendo hicho kinachengua wudhuu´. Kumgusa mwanamke kwa matamanio kunachengua wudhuu´ ikiwa ni moja kwa moja pasi na kuzuizi. Kwa hali yoyote usifanye kazi hii. Jiepushe na kazi hiyo. Fanya kazi yako na wanamme tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=1Aulyc_Efzo
- Imechapishwa: 26/03/2022
Swali: Nafanya kazi kama daktari katika taasisi ya udaktari na huwafunua wanamme na wanawake. Hutokea wakati mwingine wakati ninapofanya kazi yangu na wanawake yakaamka matamanio yangu pamoja na kwamba napambana na jambo hilo. Jambo hili hunitokea mara nyingi. Ni ipi hukumu ya wudhuu´ wangu nikiwa katika hali hii? Unaninasihi nini?
Jibu: Haijuzu kwako kuwafunua wanawake. Haijuzu kwa mwanamme kuwafunua wanawake hata kama hayakuamka matamanio yako. Kwa sababu hiyo ni njia inayopelekea katika fitina. Wanawake wafunuliwe na madaktari wanawake wenzao. Wanamme wafunuliwe na madaktari wanamme wenzao. Haijuzu kinyume chake. Kwa sababu jambo hilo ndani yake mna fitina. Matamanio yakiamka basi jambo linakuwa baya zaidi. Ikiwa matamanio yameambatana na kugusa ngozi ya mwanamke pasi na kizuizi kitendo hicho kinachengua wudhuu´. Kumgusa mwanamke kwa matamanio kunachengua wudhuu´ ikiwa ni moja kwa moja pasi na kuzuizi. Kwa hali yoyote usifanye kazi hii. Jiepushe na kazi hiyo. Fanya kazi yako na wanamme tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=1Aulyc_Efzo
Imechapishwa: 26/03/2022
https://firqatunnajia.com/daktati-anahisi-matamanio-anapowatibu-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)