Swali: Kuna mtu leo ameandika katika gazeti la ar-Riyaadh makala ambapo amekoso silebasi za masomo na kwamba zinasema kuwa ni lazima kumchukia kafiri. Yeye anachodai ni kwamba kilicho cha lazima ni kuchukia ukafiri na sio kuwachukia makafiri. Je, maneno yake ni sahih? Vipi mtu atamjibu?

Jibu: Sisi tunachukia ukafiri na yule mwenye kusifika na ukafiri. Tunachukia yote mawili. Kusema kwamba mtu achukie ukafiri na asimchukie mtu, ni utofautishaji batili.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
  • Imechapishwa: 31/03/2019