Swali: Ni vipi nitawafurahisha wazazi wangu ambao hivi sasa wanaishi kwa sababu hapo kabla nilikuwa nawakasirisha na kuwadhikisha namna nilivyokuwa natangamana nao?
Jibu: Muda wa kuwa umetubia kwa Allaah, tangamana nao vyema na uwahudumie, zungumza nao kwa uzuri, kaa nao, watatulie mahitaji yao na wasaidie yale mambo yao muhimu ya dunia. Pengine kwa kufanya hivo Allaah akakusamehe yale yaliyotangulia.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-19-12-1435هـ
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Ni vipi nitawafurahisha wazazi wangu ambao hivi sasa wanaishi kwa sababu hapo kabla nilikuwa nawakasirisha na kuwadhikisha namna nilivyokuwa natangamana nao?
Jibu: Muda wa kuwa umetubia kwa Allaah, tangamana nao vyema na uwahudumie, zungumza nao kwa uzuri, kaa nao, watatulie mahitaji yao na wasaidie yale mambo yao muhimu ya dunia. Pengine kwa kufanya hivo Allaah akakusamehe yale yaliyotangulia.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-19-12-1435هـ
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/cha-kufanya-kwa-ambaye-aliwakosea-wazazi-wake-zamani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)