Swali: Kuna mwanaume amejenga msikiti na akaacha anausia azikwe ndani yake ambapo ukatekelezwa wasia wake. Hivi sasa watu wafanye nini?
Jibu: Wasia huu wa kuzikwa msikitini sio sahihi. Misikiti sio makaburini na wala haijuzu kuzika msikitini. Ni haramu kutekeleza wasia huu. Lililo la wajibu hivi sasa ni kufukua kaburi hili na kulipeleka katika makaburi ya waislamu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/233)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Kuna mwanaume amejenga msikiti na akaacha anausia azikwe ndani yake ambapo ukatekelezwa wasia wake. Hivi sasa watu wafanye nini?
Jibu: Wasia huu wa kuzikwa msikitini sio sahihi. Misikiti sio makaburini na wala haijuzu kuzika msikitini. Ni haramu kutekeleza wasia huu. Lililo la wajibu hivi sasa ni kufukua kaburi hili na kulipeleka katika makaburi ya waislamu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/233)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/bwanyenye-amejenga-msikiti-na-kuusia-azikwe-ndani-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)